TAZAMA HII PICHA YA RAIS KENYATTA AKIWA AMECHACHAWA NA KALIOZ LA ASKARI

Mtu Mzima ni kama aamini anacho kiona....."Aisee huyu mleteni awe board guard wangu ...Life is Good.....hahah
mheshimiwa anamshangaa askari kinguo alichovaa maana anavunja sheria ya kazi na ya serikari na wadada tubadilike jamani haya mavazi co mazuri na hayafai katika jamii yetu mbona mnakuwa hivyo jamani tena mtu mwaenyewe yupo kazini unavaa kivazi cha ajabu huu ni utovu wa nizamu.....
No comments:
Post a Comment