MWANAMKE NCHINI NIGERIA ACHOMWA MOTO HADI KUFA UNATAKA KUJUA KISA NINI SOMA ZAIDI...
Hivi karibuni mwanamke mmoja huko Nchini Nigeria aliuawa na wananchi
walioamua kujichukulia sheria mkononi baada ya kumtuhumu kuwa anaiba
watoto wa shule na kuwapeleka kusikojulikana.
Mwanamke huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja, alianza kupigwa na baadaye wananchi hao wakamuua kwa kumchoma moto.
Inadaiwa kuwa mwanamke huyu alikutwa na watoto wawili wa kike ambao ni
wanafunzi, akiongozana nao na ndipo wananchi walipompiga na hatimaye
kumchoma moto hadi akafa
Wednesday, 14 May 2014
Wednesday, 7 May 2014
KUTOKANA NA MVUA ZINAZOZIDI KUENDELEA KUNYESHA MALORI ZAIDI YA 100 YAMEKWAMA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM - MTWARA SOMA ZAIDI UPATE TAARIFA KAMILI....
MAGARI ZAIDI YA MIA YAMEKWAMA NJIANI BARABARA YA MANZESE DAR ES SALAAM - MTWARA KUTOKANA NA MVUA ZINAZOZIDI KUNYESHA JIJINI HUMO....
Haya ni maafa serikali inatakiwa kuingilia kati swala hili kwasababu barabara zimekuwa mbaya na ni kazi kupitika hasa kwa magari makubwa.
Malori
na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea
na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese
lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana
kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha
na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama
Baadhi
ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi
na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini
wakiwa wamesimama kushuhudia juhudi zinazofanya na vijana wa eneo la
Manzese na baadhi ya madereva wa malori na mabasi pamoja na abiria
kuhakikisha wanasaidia magari kuvuka ili kuweza kuendelea na safari zao.
Wasafiri
na wakazi wa Eneo la Manzese wakishuhudia greda lililofika kwaajili ya
kusaidia kusawazisha eneo hilo na kutoa magari yaliyonasa kutokana na
eneo hilo kujaa maji na tope zito yaliyosababisha magari kukwama kwa
takribani masaa zaidi ya nane hapo jana.
Mabasi
yatokeayo Mikoa ya Kusini kuelekea Bara yakiwa yamekwama katika eneo la
Manzese - Kilwa kutokana na barabara kuwa mbovu katika eneo hilo
kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea kusababisha magari
zaidi ya mia kunasa na kutoendelea na safari zao kwa zaidi ya masaa
nane.
Greda
likiondoa tope na kusawazisha eneo hilo ambalo lilileta usumbufu mkubwa
sana kwa watumiaji wa barabara ya Dar Mtwara na kupelekea magari zaidi
ya mia kukwama katika eneo hilo lililoaharibiwa na mvua zinazoendelea
kunyesha.
Malori yakiwa kwenye msururu.
ANTI LULU ASHANGAZA WATU:
ANTI LULU: Najuta kumvulia nguo Amani sikujua kama ana wivu mkubwa kiasi kile
Hayo ni maneno aliyoyasema Anti lulu kwa uzuni
soma zaidi upate kujua mengi.......
ANTI LULU: Najuta kumvulia nguo Amani sikujua kama ana wivu mkubwa kiasi kile
Hayo ni maneno aliyoyasema Anti lulu kwa uzuni
soma zaidi upate kujua mengi.......
MSANII wa filamu Bongo,Lulu Semagongo 'Aunty Lulu' anadai kuwa
anajuta kumvulia nguo mwandani wake aliyemtaja kwa jina la
Amani ambaye hivi karibuni alimshushia kipigo kikali baada ya
kutaka kwenda kujirusha usiku kwenye kumbi za starehe....
Akizungumza na Mpekuzi wetu,Aunty Lulu alisema katika siku ya
tukio ni kweli alitaka kwenda kupata raha mwenyewe kwenye moja
ya klabu za starehe usiku na alimpa taarifa jamaa yake huyo
lakini akamgomea kwenda kwani alihisi angeenda kumsaliti....
Msanii huyo aliendelea kusema kuwa jamaa yake huyo ana wivu
balaa na hilo limekuwa likimpa shida kwani wakati mwingine
anashindwa kuongea na wanaume ambao mpenzi wake hawafahamu
maana huwa anahisi ni hawala zake....
"Najuta kumpa penzi Amani kwani sikujua ana wivu mkubwa
kiasi hiki,hataki kunipa uhuru wa kwenda kujirusha kama
ilivyokuwa siku za awali.Si kweli kwaba nikienda kwenye kumbi
za starehe naweza kumsaliti kwani binafsi huwa sipendi
kuchanganya wanaume"Alisema msanii huyo.
HII NI AJABU KWA KWELI KUONA MTO UNATOA DAMU BADALA YA MAJI
MAAJABU YA MTO WENYE MAJI YA DAMU WAISHANGAZA DUNIA
Hili ni jambo la kushangaza na la kuogopesha sana kuona mto unatoa damu badala ya maji kwakuwa tumezoea na tunajua mito yote inatokana na maji ndio maana inaitwa mito ila kwa hili ni ajabu kidogo embu soma zaida..........
he River Lotzwil (Bern, Switzerland) has suddenly turned blood red. Scientists say they have absolutely no explanation. Others point to The Book of Revelation, 16:4 in the Holy Bible. Picture of the River shown below
This is just the latest of a series of similar incidents wherein waterways – either fresh or salt — have “inexplicably” turned blood red. In January, 2014, a stream in Northhampshire, UK turned blood red. Initially, it was thought that Ink spilled in the river, but that was never confirmed and the source was never found.
In December, 2013, a river near a small village in Slovakia turned blood red. It was thought that a slaughterhouse upstream had leaked into the river but that was not true. No explanation was ever found.
A similar incident took place in September, 2012 in a section of the Yangtze River in Chongqing, China as shown below . . . Experts struggled to explain it:
In February, 2012, People in Lebanon’s capital woke up to the following scene of the Beirut river that runs at the edge of the city .
Even canals in Beirut turned red . . . . and the government had no explanation In Little Rock, AR, a stream turned blood red in 2012 with no explanation . . . In November, 2012, Australia’s most famous beach, Bondo Beach, turned blood red too . . . On Friday, August 10, 2012, the waters of a lake in The Camargue, a marshy area in the Rhone delta of southern France, turned “blood red.” The scene certainly baffled holiday makers. The strange thing about it is lakes on the left and right of the red lake are absolutely as you’d expect with them to be, with normal water. The color was never explained.
While governments and scientists are baffled by these events, the explanation is clear to those of us who participate in this web site:
Almighty God is warning us to repent our sins. Of course, you may find such a belief ridiculous (which is part of the problem) but the Holy Bible, written two thousand or so years ago, foretold of this type of event.
In The Book of Revelations, Chapter 16, Verse 4, we were warned: And the third angel poured out his vial upon the rivers and fountains of waters; and they became blood. It isn’t hard to believe that humanity is being warned by God to repent its sins, or to see that humanity, in its arrogance, is ignoring these warnings, as was also foretold in the Bible. For us, we believe in YHVH which some pronounce “YAHWEH” and others pronounce “Jehovah” who is the one, true, almighty God. We believe and assert that he is the Creator of us and of all things. We believe and assert that he always was, always is and always shall be. We repent our sins, ask YHWH to forgive us, and pray that we be granted Salvation through Y’Shua, whom we are taught was called Jesus, the Christ, Messiah. We make no apology to anyone for our beliefs, or for worshiping Almighty God. We urge everyone to get right with the Lord because he is just and his judgments are righteous. He cannot be lied to, fooled, conned or snookered. We fear his just and righteous punishment for our sins, and suggest.
MAAJABU YA MTO WENYE MAJI YA DAMU WAISHANGAZA DUNIA
Hili ni jambo la kushangaza na la kuogopesha sana kuona mto unatoa damu badala ya maji kwakuwa tumezoea na tunajua mito yote inatokana na maji ndio maana inaitwa mito ila kwa hili ni ajabu kidogo embu soma zaida..........

he River Lotzwil (Bern, Switzerland) has suddenly turned blood red. Scientists say they have absolutely no explanation. Others point to The Book of Revelation, 16:4 in the Holy Bible. Picture of the River shown below
This is just the latest of a series of similar incidents wherein waterways – either fresh or salt — have “inexplicably” turned blood red. In January, 2014, a stream in Northhampshire, UK turned blood red. Initially, it was thought that Ink spilled in the river, but that was never confirmed and the source was never found.
In December, 2013, a river near a small village in Slovakia turned blood red. It was thought that a slaughterhouse upstream had leaked into the river but that was not true. No explanation was ever found.
A similar incident took place in September, 2012 in a section of the Yangtze River in Chongqing, China as shown below . . . Experts struggled to explain it:
In February, 2012, People in Lebanon’s capital woke up to the following scene of the Beirut river that runs at the edge of the city .
Even canals in Beirut turned red . . . . and the government had no explanation In Little Rock, AR, a stream turned blood red in 2012 with no explanation . . . In November, 2012, Australia’s most famous beach, Bondo Beach, turned blood red too . . . On Friday, August 10, 2012, the waters of a lake in The Camargue, a marshy area in the Rhone delta of southern France, turned “blood red.” The scene certainly baffled holiday makers. The strange thing about it is lakes on the left and right of the red lake are absolutely as you’d expect with them to be, with normal water. The color was never explained.
While governments and scientists are baffled by these events, the explanation is clear to those of us who participate in this web site:
Almighty God is warning us to repent our sins. Of course, you may find such a belief ridiculous (which is part of the problem) but the Holy Bible, written two thousand or so years ago, foretold of this type of event.
In The Book of Revelations, Chapter 16, Verse 4, we were warned: And the third angel poured out his vial upon the rivers and fountains of waters; and they became blood. It isn’t hard to believe that humanity is being warned by God to repent its sins, or to see that humanity, in its arrogance, is ignoring these warnings, as was also foretold in the Bible. For us, we believe in YHVH which some pronounce “YAHWEH” and others pronounce “Jehovah” who is the one, true, almighty God. We believe and assert that he is the Creator of us and of all things. We believe and assert that he always was, always is and always shall be. We repent our sins, ask YHWH to forgive us, and pray that we be granted Salvation through Y’Shua, whom we are taught was called Jesus, the Christ, Messiah. We make no apology to anyone for our beliefs, or for worshiping Almighty God. We urge everyone to get right with the Lord because he is just and his judgments are righteous. He cannot be lied to, fooled, conned or snookered. We fear his just and righteous punishment for our sins, and suggest.
Wednesday, 30 April 2014
MI NASHANGAA WATANZANIA TUNAjizarau wenyewe kwann kutana na mtanzania ambaye ni tajiri mtu mwenye pesa zake anazo nyingi tu lakini unamjua hakuna anayemtambua mtu kama huyu.... SOMA HABARI YAKE ZAIDI UPATE KUJUA MENG NA KUJIFUNZA..
HII NDO HISTORIA YA MTANZANIA MWENYE UTAJIRI WA AJABU HAPA BONGO
![]() |
Davis Mosha,
founder, Delina Enterprises, one of KenolKobil’s
key transporters in the region.
|
But this has been made possible courtesy of his business. Mr Mosha is the founder and director of Delina General Enterprises a company that transports fuel and other products to KenolKobil depots throughout East Africa. The company’s name Delina is derived from the first initials of his wife and children: D for David, E for Edgar, L for Lisa N for Nancy and A for Angela.
From Mombasa to Kampala, Dar to Congo, Delina serves KenolKobil clients with a passion born out of experience and a mutually beneficial relationship. Delina and KenolKobil have come a long way. It started in early 2000 when KenolKobil was seeking to expand its operations to Tanzania. The oil company rented his fuel station in Chalinze, Morogoro, the first that Kenol Kobil established in the country. Due to his experience doing business in East Africa’s biggest country, he also advised the company.
The watershed of Delina’s relationship with KenolKobil came in 2004 when the company asked him if he could invest in transportation. The deal? Move fuel products from Dar es Salaam to the Democratic Republic of Congo. He was the right man for the job. Mr Mosha was in transport as the owner of tippers which he rented to, among others, road construction companies. As a former owner of a fuel station, he also knew the sensitive nature of the product. “It was a good business opportunity with an even better business partner,” he says. He mopped up his savings and invested in five vehicles to pry the route.
Eversince, Delina’s growth has reflected that of Kenol Kobil. True to its goal of becoming the continent’s leading oil marketer, KenolKobil now operates in Kenya, Uganda, Tanzania, Burundi and recently started operations in Burundi. Mr Mosha has since expanded his fleet and operations to all the five East African Community countries. His fleet has grown from the initial five to over 70 all serving KenolKobil.
The oil company has been more than a business partner to him. For instance, when he needed money to increase his fleet from 30 to 50 vehicles in order to serve KenolKobil’s Rwanda and Burundi operations, the oil firm offered Delina the guarantee it needed to secure a loan from one of the regional banks. “Few, if any, companies can give you this kind of support. KenolKobil has really uplifted me.”
Delina operates in a sector characterized by many vices. Drivers sometimes pilferage fuel and mix with other Kerosene to make up for the stolen product. In addition, freak accidents leading to spillage have dented the image of some of players and in some cases with fatal consequences. A tanker for instance overturned along Kenya’s Nakuru-Eldoret highway. Many members of the public who rushed to scoop the fuel died after the tanker exploded.
But Delina’s trucks have not been involved in such vices. On the contrary, his safety standards have kept him as one of the leading KenolKobil transporters. Delina has taken several measures to ensure safe and efficient delivery of oil products. Before recruiting a driver, Delina conducts a background check to ascertain their character. Once hired, they are “trained and well taken care of”. There is a monthly bonus for drivers who meet their targets and timelines. There are over 90 drivers working in the firm. “We also maintain friendly working relations and they have direct access to me,” he says.
To avoid accidents, theft and guarantee safety of the vehicles and drivers, Delina has one golden rule: no vehicle travels after 6 p.m. “We get an alert in case a driver violates the provision and immediately get in touch with the them to find out why they are still on the road.” The vehicles are also fitted with GPS tracking sytems that show the location of the vehicle and notify Delina if product are being interfered with.
Like many firms, Delina also faces a number of challenges. Axle load limits in East Africa are for instance a logistical nightmare. The trucks pay different rates when passing each of the country’s weighbridges. “East African countries should harmonize the charges and axle load limits.” Roads, especially on the Kenyan side of the border are in a bad condition although “the situation is improving”, he says.
Mr Mosha, 38, was born into “a family of business people”. But he opted for an engineering course at “Dar Technical” and later worked as a cargo officer. It was during this time that he developed an interest in transport and bought his first lorry. Since he was still in his ‘20s, few people entrusted the young man with big contracts and he was hired either as a sub-contractor or to complement other larger companies. “This is why I am grateful to KenolKobil. They looked at my potential not my age before supporting my business,” says the tall, light complexioned entrepreneur who is married with three kids.
But courtesy of his hardwork and Kenol Kobil’s assistance, Delina is expanding beyond transport. He is already building two hotels in Tanzania, owns a car hire firm, a crane company and several other enterprises. “To succeed in business you must be very passionate and hardworking,” he says before adding, “of course it helps to have a partner like KenolKobil.”
HATARIIIIIIIIIIIIIIIII.... TUMESHAOEA KWA MWANADADA SHOSTI LADY GAGA KWA KUHUSISHWA NA MATUKIO MENGI YA AJABU AJABU NA YA KUSHANGAZA NI MWANADADA AMBAYE HAISHIWI NA MATUKIO HILI NI TUKIO LINGINE ...........................
MWANAMUZIKI LADY GAGA ATUMBUIZA AKIWA UCHI NI JAMBO LA AJABU SANA TENA NI LAKUSHANGAZA LAKINI KWA KWA MWANAMUZIKI HUYU NI KAMA JAMBO LA KAWAIDA....
Mwanamuziki Lady Gaga wa Marekani bila kuogopa umati mkubwa kwamba utamuumiza au kumchafua akijimwaga waziwazi akiwa amejivalia nguo zake za chekecheke na zenye kuonyesha waziwazi uchi wake.
Wanamuziki wa Marekani ni kawaida yao kuimba huku wakiwa nusu uchi au uchi kabisa ili kuwavutia mashabiki wengi zaidi, Lady Gaga aliyafanya hayo akitumbuiza kwenye sherehe za The Lollapalooza music festival huko Chicago

MWANAMUZIKI LADY GAGA ATUMBUIZA AKIWA UCHI NI JAMBO LA AJABU SANA TENA NI LAKUSHANGAZA LAKINI KWA KWA MWANAMUZIKI HUYU NI KAMA JAMBO LA KAWAIDA....

Mwanamuziki Lady Gaga wa Marekani bila kuogopa umati mkubwa kwamba utamuumiza au kumchafua akijimwaga waziwazi akiwa amejivalia nguo zake za chekecheke na zenye kuonyesha waziwazi uchi wake.
Wanamuziki wa Marekani ni kawaida yao kuimba huku wakiwa nusu uchi au uchi kabisa ili kuwavutia mashabiki wengi zaidi, Lady Gaga aliyafanya hayo akitumbuiza kwenye sherehe za The Lollapalooza music festival huko Chicago

DUUUUUUUH HII SASA NAYO KALI KAMA UJAWAHI SIKIA KITUKO HIKI NI KITUKO TENA SI KIDOGO MTOO WA MIEZI TISA AMBAYE HATA KUNYANYUA CHUPA YAKE YA MAZIWA HAWEZI ANATAFUTWA NA POLISI HUKO PAKISTANI KWA KOSA LA MAUAJI......UNATAKA KUJUA KAUA NINI INGIA NDANI USOME VIZURI....................

Baby huyo anayeitwa Musa Khan sasa yuko mafichoni kwani polisi wanamtafuta. Wiki iliyopita mtoto huyo alipelekwa mahakamani na kutajiwa kesi hiyo ya jaribio la mauaji katika mojawapo ya mahakama mjini LAHORE.
Pamoja na mtoto huyo Baba yake na Babu yake wanahukumiwa pia. Sakata hilo lilianza pale polisi mmoja na mfanyakazi wa kampuni moja ya gesi aliyekuwa anakusanya bili za muda mrefu waliporushiwa mawe na waandamanaji wanaopinga kupunguzwa kwa gesi na kupandishwa bei.
Kesi ya kichanga hiki inaonyesha wazi udhaifu ulioko kwenye sheria za PAkistani
Hata hivyo taarifa za hivi punde kutoka LAHORE, Pakistani zinasema kuwa mahakama hiyo imemfutia kesi mtoto huyo
BAADA YA TUKIO KUBWA LA KUSISIMUA WATU NA LA KUSHANGAZA LILILOTOMTOKEA /KULIFANYA DAN ALVES KITENDO CHA KURUSHIWA NDIZI KAMA ISHARA YA UBAGUZI ALIIOKOTA NA KUILA..KITENDO HICHO KIMEONESHA UJASILI KWA WATU WENGINE NA KUMUUNGA MKONO KWA KITENDO ALICHOKIFANYA HAWA NI BAADHI YAO WALIOMUUNGA MKONO DAN ALVES.................
SOMA ZAIDI UJUE KUNA NINI.....
SOMA ZAIDI UJUE KUNA NINI.....
AMAZING:DAVIDO, SAMWELI ETO'O, ADEBAYOR NA BALOTELI NAO WAPOST PICHA WAKILA NDIZI

Amazing: Davido, Samuel Eto’o, Adebayor, Balotelli Post Banana Photos In Support
This awesome, this is amazing and breathtaking…. When I personally watched that video I was really touched…
Dani Alves ate the banana that was thrown at him, he started a revolution. Right now, it’s taken over the
social media.
The racist incident happened during
Barcelona’s match against Villarreal on Sunday, when a banana was thrown
onto the pitch towards Dani Alves as he went to take a corner. Everyone
was amazed as Dani picked it up, peeled it back and ate it. And since
then, he has been receiving massive support against racism.
Speaking after the match Alves said:
“We have suffered this in Spain for some
time, you have to take it with a dose of humour. We aren’t going to
change things easily. If you don’t give it importance, they don’t
achieve their objective. I don’t know who it was, but thanks to whoever
threw the banana, the potassium gave me the energy for the two crosses
which led to a goal.”
The banana thrower has been identified
and banned for life from games at the El Madrigal Stadium. The banana
campaign for Alves has also gone viral. With even Davido sharing his own
photo.. This is a nice move from Spanish F.A.. You wouldn’t want to try
it in Nigeria, you will be beaten to stupor before banning of life.
TAZAMA HII PICHA YA RAIS KENYATTA AKIWA AMECHACHAWA NA KALIOZ LA ASKARI

Mtu Mzima ni kama aamini anacho kiona....."Aisee huyu mleteni awe board guard wangu ...Life is Good.....hahah
mheshimiwa anamshangaa askari kinguo alichovaa maana anavunja sheria ya kazi na ya serikari na wadada tubadilike jamani haya mavazi co mazuri na hayafai katika jamii yetu mbona mnakuwa hivyo jamani tena mtu mwaenyewe yupo kazini unavaa kivazi cha ajabu huu ni utovu wa nizamu.....
BASI LAUWA WATU 18 WALIOKUWA WAKIMSITIRI MAREHEMU KANDO YA BARABARA
WATU 18 wamekufa papo hapo wakiwemo
askari Polisi wanne katika ajali ya barabarani, wakati basi
linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati
wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari
lisilofahamika.
Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa mbali na askari hao, wengine waliokufa papo hapo ni viongozi watatu wa kijiji hicho na wananchi wanaowaongoza na wengine wanne ambao hawajatambulika.
Kwa mujibu wa Kamanda Kamwela, askari waliokufa katika ajali hiyo ni Koplo Boniface Magubika, PC Jumanne Mwakihaba, PC Novatus Tarimo na PC Michael Mwakihaba na wote wanatoka katika kituo kimoja cha kazi.
Viongozi wa Kitongoji na Kijiji cha Utaho waliokufa ni Ramadhan Mjengi, ambaye ni Ofisa Mtendaji wa Kijiji, Paul Hamis, ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji na Ernest Salanga ambaye ni Mwenyekiti Kitongoji.
Wananchi wanaowaongoza katika kijiji hicho waliokufa ni Saidi Rajabu, Ushirika Itambu, Chima Mughenyi, Salim Juma, Abeid Ramadhan, Mwinyi Hamis na Issaha Hussein.
Kwa mujibu wa Kamanda Kamwela, miili ya watu wengine wanne haikuwa rahisi kutambulika mara moja na wote wamehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa mjini Singida.
Kamanda Kamwela alisema ajali hiyo ilisababishwa na basi la abiria lenye usajili namba T.799 BET aina ya Nissan, mali ya Kampuni hiyo ya Sumry, inayomilikiwa na Mohamed Abdallah wa Sumbawanga, lililokuwa likienda jijini Dar es Salaam likitokea Kigoma.
Alisema kuwa basi hilo lililokuwa likiendeshwa na Paul Njilo, mkazi wa Dar es Salaam, liliwagonga waenda kwa miguu hao waliokuwa wamekusanyika kando ya barabara wakisaidiana na askari Polisi kuondoa mwili wa marehemu Gerald Zephania, aliyekuwa amegongwa na lori lisilofahamika juzi saa moja usiku.
Katika ajali hiyo kwa mujibu wa Kamanda Kamwela, watu wengine wanane walijeruhiwa na wamelazwa katika Hospitali ya Misheni Puma ya mjini Singida.
Habari kutoka eneo la tukio zinasema kilichosababisha ajali hiyo huenda ni kuegeshwa vibaya kwa gari la Polisi, wakati likipakia mwili wa marehemu Gerald, aliyekuwa amegongwa na lori mapema kabla ya basi hilo kufika hapo. Inadaiwa gari la Polisi liliziba barabara.
Akizungumzia ajali hiyo katika Makao Makuu ya Polisi Dar es Salaam jana, Kamishna Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, alitoa pole kwa wananchi wote waliofiwa na ndugu zao na kuwaombea majeruhi kupona haraka.
Alisema Askari wa Usalama Barabarani hawatakuwa na muhali na dereva yeyote atakayekwenda kinyume na Sheria ya Usalama Barabarani. Kutokana na hilo, ametoa mwito kwa madereva kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za usalama barabarni, ili kuepusha ajali zinazoweza kuzuilika.
“Polisi iko imara kuchukua hatua zozote za kisheria, kwani kuna baadhi ya watoa huduma wa usafiri hugoma pale wanapotaka kuchukuliwa hatua kwa sababu mbalimbali matokeo yake ni uvunjaji wa sheria kwa makusudi,” alisema.
Alisema Jeshi la Polisi limeanzisha msako mkali wa dereva wa basi hilo ambaye alitoroka ili kufikishwa mahakamani, na kuwaomba wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa za wahalifu wa aina yeyote ile, ili wakamatwe na kufikishwa mahakamani.
Tuesday, 29 April 2014
MWANAFUNZI WA CHUO AFIA CHUMBANI KWA HAWARA YAKE
Stori: DENIS MTIMA NA MAYASA MARIWATA
MSICHANA Atu Gabriel mwenye umri wa miaka 20, mwanafunzi wa Chuo cha Eden Hill kilichopo Kwamfipa wilayani Kibaha mkoani Pwani, amekutwa amekufa chumbani kwa mtu anayetajwa kuwa ni hawara yake, Hafidh Mohammed.
Tukio hilo lilitokea April 26, mwaka huu na kukusanya umati huku mwanaume aliyelala na binti huyo akitokomea kusikojulikana.Marehemu anadaiwa kuwa mwenyeji wa Makambako mkoani Njombe.
Akizungumza na waandishi wetu juzi Kibaha, mama wa Hafidh ambaye pia ni mjumbe wa eneo hilo, Zainabu Saidi alisema mwanaye alimweleza kutokea kwa tukio hilo asubuhi kulipokucha na kabla ya hapo, hakuwa akifahamu kama alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na msichana huyo kwa vile aliyekuwa akimfahamu ni mwanamke mwingine ambaye alizaa naye.
“Mimi kwa kweli sikuwa na taarifa yoyote juu ya uhusiano wao na huyu mwanafunzi, nimeletewa taarifa asubuhi na kijana wangu huku akionekana kuchanganyikiwa, nimejaribu kumsihi asikimbie lakini imeshindikana,” alisema mama huyo.
ALIVYOAGA CHUONI
Wanafunzi wa chuo hicho kinachofundisha masomo ya biashara na habari ambao walikataa kutaja majina yao waliliambia gazeti hili kuwa, marehemu Atu aliwaaga anakwenda jijini Dar es Salaam kumuuguza wifi yake aliyelazwa katika Hospitali ya Amana, Aprili 23, mwaka huu.
Hata hivyo, walisema uondokaji wake uliwapa maswali mengi kwani tofauti na walivyotegemea kuwa angebeba mfuko mkubwa wenye nguo za kubadili, yeye aliondoka akiwa na mkoba wake wa mkononi pekee hali iliyoonesha hakuwa akienda mbali.
Walisema siku tatu baadaye walipatwa na mshtuko mkubwa baada ya mlinzi wa hosteli yao kuwaletea taarifa za kifo cha mwenzao kilichotokea katika chumba cha mvulana huyo anayeishi jirani.
MAJIRANI NAO WANENA
Majirani waliozungumza na gazeti hili walisema kwao haikuwa mara ya kwanza kumuona msichana huyo, kwani mara kwa mara alikuwa akifika pale ingawa akishaingia ndani hakuwa akitoka nje.
Walisema mara zote hizo, mwanaume huyo mwenyeji ndiye alikuwa akitoka nje na kwenda kumnunulia chakula.
POLISI WAUPELEKA MWILI HOSPITALI YA TUMBI
Jeshi la polisi liliwasili eneo la tukio na kuukuta mwili huo ukiwa umelala kitandani ukiwa hauna jeraha, lakini pembeni yake kulikutwa vidonge ambavyo havikufahamika ni vya aina gani ambavyo pia vilichukuliwa pamoja na mkoba wake hadi kituonis.
Minong’ono kutoka kwa majirani kuhusiana na vidonge hivyo ilitofautiana, baadhi yao walisema huenda vilitumika katika jaribio la kutoa mimba, wengine walisema inawezekana msichana huyo alipata ugonjwa wa ghafla usiku na mwanaume huyo alikwenda kumchukulia vidonge hivyo ambavyo havikuweza kumsaidia marehemu kupata nafuu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, SACP Ulrrich Matei alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema juhudi za kumtafuta mwanaume huyo zinaendelea huku madaktari nao wakiendelea na uchunguzi wao ili kubaini chanzo cha kifo hicho.
UNGA WAZIDI KUMTESA MWANADADASHOSTITO MKALI WAO KIONO BILA MFUPA RAY C SOMA ZAIDI MTU WANGU..........
NA MAKONGORO OGING'
MSANII mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ambaye aliwahi kuathirika na utumiaji wa ‘unga’, hivi karibuni alitinga ofisi ya kitengo cha kupambana na kudhibiti madawa ya kulevya na kuomba kupatiwa majina, idadi na sehemu walipo watumiaji wa mihadarati hiyo ili aweze kuwasaidia kwa kuwapa somo, kitu kinachotafsiriwa kama bado unamtesa.
Ray C anadaiwa kufika katika ofisi hizo, Aprili Mosi, mwaka huu, saa nne asubuhi hali iliyozua gumzo kwa askari waliomuona ambao walijiuliza kitu alichokifuata.
Akizungumza na Uwazi, kamanda wa kitengo hicho cha madawa ya kulevya, Godfrey Nzowa alikiri kufika kwa msanii huyo ofisini kwake na kutoa madai hayo lakini alimwelekeza kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kwani huko kuna kitengo kinachoshughulika na watu wenye matatizo ya akili wakiwemo watumiaji wa madawa ya kulevya.
Kamanda huyo alionesha kufurahishwa na kitendo cha msanii huyo ambaye pia anamiliki taasisi yake yenye lengo la kuwasaidia waathirika wa matumizi ya madawa hayo kwa kuwapa elimu, akisema atatoa msaada mkubwa kwa wenzake.
Aliwataka watumiaji wa madawa hayo ambao wameshindwa kuacha, wamfuate msanii huyo ili awape elimu na amewaonya wote wanaotumia na kusafirisha madawa hayo.
“Wote wanaotumia na kuuza madawa hayo waache mara moja kwani kikosi kazi kinachopambana na biashara hiyo kimejipanga kila kona ili kukomesha biashara hiyo haramu,” alisema Kamanda Nzowa.
GPL
HATARI HIYO WIVU NI NOUMA SANA JAMANI INASIKITISHA SANA EMBU MSOME HUYU MTU........
AZINYOFOA SEHEMU ZA SIRI ZA MUMEWE KWA WIVU NA UGOMVI WA KIMAPENZI
AZINYOFOA SEHEMU ZA SIRI ZA MUMEWE KWA WIVU NA UGOMVI WA KIMAPENZI
Akizungumza na kipindi cha Maskani cha 100.5 Times Fm, kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Ulrich Matei ameeleza kuwa tukio hilo lilitokea juzi usiku na kwamba kulikuwa na ugomvi kati ya wawili hao huku kijana huyo akimtuhumu mwanamke huyo kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanaume wengine.
Ameeleza kuwa wakati ugomvi unaendelea, mwanamke huyo alizishika sehemu za siri za mumewe na kuzivuta hadi kuzinyofoa.
Mwanaume huyo alipata maumivu makali na alikimbizwa hospitali ya Mkulanga ambapo alifariki.
Jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo na tayari ameshafikishwa mahakamani akikabiliwa na kesi ya mauaji.
ASERNAL, YAILAZA NEWCASTLE 3-0

ASERNAL imezidi kujiweka katika
mazingira mazuri ya kuingia timu nne bora za ligi kuu soka nchini
England msimu huu na kufuzu kucheza UEFA mwakani baada ya usiku huu
kuilaza Newcastle mabao 3-0 kwenye uwanja wa Emirates.
Mabao ya Laurent Koscielny, Mesut Ozil na Olivier Giroud yameifanya Asernal iweke pengo la pointi nne dhidi ya wapinzani wao wakubwa wa nafasi ya nne, klabu ya Everton.
Kwa matokeo hayo, Asernal imefikisha pointi 73 katika nafasi ya nne, huku Everton wakisalia nafasi ya tano kwa pointi 69, na timu zote zimebakisha mechi mbili mbili kufunga msimu.
Mabao ya Laurent Koscielny, Mesut Ozil na Olivier Giroud yameifanya Asernal iweke pengo la pointi nne dhidi ya wapinzani wao wakubwa wa nafasi ya nne, klabu ya Everton.
Kwa matokeo hayo, Asernal imefikisha pointi 73 katika nafasi ya nne, huku Everton wakisalia nafasi ya tano kwa pointi 69, na timu zote zimebakisha mechi mbili mbili kufunga msimu.

Wiki tatu baadaye, Everton walianza kuteteleka na Asernal kurudi katika moto wake baada ya kurejea kwa nyota wake Aaron Ramsey na Mesut Ozil.
Kumaliza katika nafasi ya nne jumlisha kombe la FA yatakuwa mafanikio kwa kocha Aserne Wenger msimu huu na pengine yatachangia kumwaga wino katika mkataba mpya wa kuifundisha klabu hiyo.
Asernal wanaweza kujihakikishia nafasi ya nne kama wataifunga West Bromwich Albion jumapili ya wiki hii, huku wakisubiri mechi yao ya kufunga msimu dhidi ya Norwich.
ADAM NDITI: MOURINHO ANATUFUNDISHA KULINDA, KUCHEZA , KUSHAMBULIA, TUTAWAFUNGA ATLETICO

UNAPOZUNGUMZIA wachezaji wa
Kitanzania wenye bahati ya kucheza klabu kubwa duniani, huwezi kuacha
kumzungumzia Adam Nditi anayekipiga katika klabu ya Chelsea.
Nditi amepata bahati ya kunolewa na kocha bora duniani, Jose Mourinho katika dimba la Stamford Bridge.
Mahojiano maalum yamefanywa baina ya mtandao huu na Nditi akiwa jijini London nchini Uingereza.
Nditi amefafanua kuwa katika mazoezi wanayofanya chini ya kocha Mourinho wanafundishwa mambao matatu.
“Katika mazoezi yetu, tunafundishwa namna ya kulinda, kucheza na kufunga”
“Kocha anatumia muda mwingi katika masuala haya matatu”.
“Kila klabu ina mbinu zake za kusaka ushindi katika mechi”. Amesema Nditi.
Aidha, kinda huyo alishangazwa na maneno ya watu kuwa walicheza kwa kujilinda zaidi “maarufu kama kupaki basi `dhidi ya Liverpool jumapili iliyopita na kushinda mabao 2-0 kwenye uwanja wa Anfield.
“Watu wanasema tulipaki basi, sasa ilikuwaje tukafunga mabao mawili?, au Liverpool walijifunga?, kila timu ina mbinu zake za kutafuta matokeo”.
“Timu yetu ilijilinda ili isifungwe, ikacheza mpira na kushambulia na kupata mabao mawili”.
“Nilisema toka awali kuwa kocha Mourinho anatufundisha kulinda , kucheza mpira na kushambulia ili tufunge”.
“Tulifanya vyote, tulilinda lango letu, tukacheza mpira na kufunga”
“Hii ni mbinu ya Chelsea na kocha wetu, Jose Mourinho”.
Akiuzungumzia mchezo wa kesho kutwa dhidi ya Atletico Madrid katika nusu fainali ya pili ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, Nditi alisema wanajiamni kuibuka na ushindi.
“Mechi na Atletico timu itabadilika kiuchezaji, Usitegemee kuona mpira uliochezwa Hispania, hapa nyumbani tutacheza tofauti na kupata ushindi”. Amesema Nditi.
Chelsea katika mchezo wa kwanza ulilazimisha suluhu pacha ya bila kufungana na Atletico katika dimba la Vicente Calderon na ili kufuzu hatua ya fainali wanatakiwa kushinda bao 1-0.
Hii itakuwa mechi muhimu kwa Jose Mourinho mwenye chagizo la kushinda mchezo mgumu wa ligi dhidi ya Liverpool jumapili iliyopita.
Nditi amepata bahati ya kunolewa na kocha bora duniani, Jose Mourinho katika dimba la Stamford Bridge.
Mahojiano maalum yamefanywa baina ya mtandao huu na Nditi akiwa jijini London nchini Uingereza.
Nditi amefafanua kuwa katika mazoezi wanayofanya chini ya kocha Mourinho wanafundishwa mambao matatu.
“Katika mazoezi yetu, tunafundishwa namna ya kulinda, kucheza na kufunga”
“Kocha anatumia muda mwingi katika masuala haya matatu”.
“Kila klabu ina mbinu zake za kusaka ushindi katika mechi”. Amesema Nditi.
Aidha, kinda huyo alishangazwa na maneno ya watu kuwa walicheza kwa kujilinda zaidi “maarufu kama kupaki basi `dhidi ya Liverpool jumapili iliyopita na kushinda mabao 2-0 kwenye uwanja wa Anfield.
“Watu wanasema tulipaki basi, sasa ilikuwaje tukafunga mabao mawili?, au Liverpool walijifunga?, kila timu ina mbinu zake za kutafuta matokeo”.
“Timu yetu ilijilinda ili isifungwe, ikacheza mpira na kushambulia na kupata mabao mawili”.
“Nilisema toka awali kuwa kocha Mourinho anatufundisha kulinda , kucheza mpira na kushambulia ili tufunge”.
“Tulifanya vyote, tulilinda lango letu, tukacheza mpira na kufunga”
“Hii ni mbinu ya Chelsea na kocha wetu, Jose Mourinho”.
Akiuzungumzia mchezo wa kesho kutwa dhidi ya Atletico Madrid katika nusu fainali ya pili ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, Nditi alisema wanajiamni kuibuka na ushindi.
“Mechi na Atletico timu itabadilika kiuchezaji, Usitegemee kuona mpira uliochezwa Hispania, hapa nyumbani tutacheza tofauti na kupata ushindi”. Amesema Nditi.
Chelsea katika mchezo wa kwanza ulilazimisha suluhu pacha ya bila kufungana na Atletico katika dimba la Vicente Calderon na ili kufuzu hatua ya fainali wanatakiwa kushinda bao 1-0.
Hii itakuwa mechi muhimu kwa Jose Mourinho mwenye chagizo la kushinda mchezo mgumu wa ligi dhidi ya Liverpool jumapili iliyopita.
ANCELOTTI, GAURDIOLA WAOGOPANA KIAINA, ALLIANZ ARENA MOTO KUWAKA

Los Blancos (Real Madrid) wataingia uwanjani wakiwa wanaongoza kwa bao 1-0 walilofunga kupitia kwa Karim Benzema katika mchezo wa kwanza uwanja wa Santiago Bernabeu.
Lakini Ancelotti amesisitiza kuwa licha ya timu yake kuwa na faida ya bao moja si sababu ya kuingia kwa kulinda na ameshawaambiwa wachezaji wake kuonesha dhamira ya kucheza fainali baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja.
“Inawezekana kufuzu bila kufunga, lakini dhamira yetu ni kufunga.”.
“Tumefunga mabao mengi UEFA na La Liga na tunahitaji kufanya hivyo tena”. Ancelotti amewaambiwa waandishi wa habari.
“Tunaweza kucheza mifumo tofauti ya mpira, lakini kwa michezo mingi tunajaribu kushambilia “
“ Tutatumia faida ya kuwa na wachezaji walioimarika kimaumbo na kiufundi”.
“Tunajua mechi ya kesho itakuwa ngumu sana. Tunacheza na timu kubwa tukiwa na faida ndogo, kwahiyo sisi sio wapumbavu na kamwe hatuwezi kuingia kwa kudhani tayari tumeshafuzu”.
Naye Kocha wa Bayern Munich, Josep Pep Guardiola amesema malengo yake ni kupindua matokeo ya kwanza na kusonga hatua ya fainali.
Gaurdiola alikiri ugumu wa mchezo huo, lakini alisema wameshajiandaa kushinda.
“Mimi nataka kushinda. Wachezaji wanataka kushinda na mashabiki wanataka kushinda”
“Kwa matarajio kama haya, lazima tuingie kwa nguvu moja”.
“Najua Real Madrid ni timu kubwa na siku zote nafurahi kucheza nusu fainali hasa na klabu kama hii. Itakuwa mechi ngumu lakini tutajitahidi kupata matokeo”. Alisema Gaurdiola.
Wednesday, 23 April 2014
INASIKITISHA SANA JAMANI KWA MZEE KAMA HUYUMZEE WA MIAKA 61 AKATWA SEHEMU ZAKE ZA SIRI WAKATAJI WAKIMBIA KUSIKOJULIKANA:
Majirani wakimuhudumia majeruhi ndani ya gari.
Katika
hali isiyokuwa ya kawaida mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la London
Haonga(61) mkazi wa Kijiji cha Mapogolo Kata ya Mbebe Wilaya ya Ileje
Mkoani Mbeya amejeruhiwa vibaya kwa kukatwa nyeti zake na watu watatu
wasiofahamika kisha kutokomea nazo kusikojulikana.
Tukio
hilo limetokea majira ya saa mbili usiku April 19 mwaka huu baada ya
mmoja kati ya watuhmiwa kufika nyumbani kwa mzee huyo kisha kubisha
mlango akiomba msaada wa kuonyeshwa njia akidai amepotea njia.
Mzee
London alipotoka nje ya nyumba akiwa anamwelekeza njia mtu huyo
anayedaiwa kuwani mjukukuu wake mita chache kutoka nyumbani kwake
alifunikwa na kitambaa usoni na watu wawili kisha kuangushwa na kukatwa
nyeti zake ambazo waliondoka nazo.
Mtendaji
wa Kijiji cha Mapogolo Cosmas Haonga amesema baada ya unyama huo Mzee
London alipoteza fahamu na alipozinduka alipiga yowe kuomba msaada
ambapo majirani walifika na kutoa msaada wa kumkimbiza Hospitali ya
Wilaya ya Ileje huku wakiwasaka watuhumiwa wa tukio hilo.
Kwa
mujibu wa Mtendaji wa Kijiji imedaiwa kuwa watuhumiwa wa tukio hilo
wanatokea Mpemba wilaya ya Momba ambao walitambuliwa na mhanga wa tukio
hilo ambapo baada ya kupewa PF 3 mzee London amekimbizwa Hospitali ya
Rufaa Mbeya ambapo alifikishwa Hospitali ya Rufaa majira ya saa 11:00
jioni April 20 huku akilalamika kwa maumivu makali.
Kwa
upande wake Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya Ahmed Msangi amethibitisha
kutokea kwa tukio hilo na kudai kuwa chanzo cha awali imedaiwa sababu za
kutendewa ukatili huo umetokana na mmoja wa ndugu aliyedai kuwa mzee
huyo anatuhumiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke wa mdogo wake
hivyo watu hao walitumwa kwa nia ya kulipiza kisasi.
Aidha
imedaiwa kuwa baadhi ya viungo vimekamatwa na wengine kudai kuwa tukio
hilo kuhusishwa na imani za kishirikina kwani imedaiwa watuhumiwa
kuimbilia nchi jirani mara baada ya kutenda kitendo hicho cha kikatili.
Kamanda
Msangi ameoa wito kwa jamii kuacha tabia za kujichukulia sheria mkononi
amesema pindi wanapokuwa na migogoro ni vema kutatua migogoro kwa njia
ya mazungumzo ili kuleta amani na kuahidi wale wote waliohusika na tukio
hili wanakamatwa na kufikishwa kwenye mikono ya sheria kwani hakuna mtu
aliye juu ya sheria.
KWELI DUNIA IMEISHA HILI SWALA BADO LIPO KUMBE SIKIA HII:
BINTI WA MIAKA KUMI NA SITA ATOA SII NZITO KUHUSU FREEMASON ALEZEA KILA KITU NA KUMBE ALIKUWA NI MALKIA MDOGO :-
SOMA ZAIDI..............
Binti huyo alikwenda mbele zaidi kwa kudai kwamba ili kujiunga na imani hiyo, alimuua mama yake mdogo kwa ajili ya kafara.
Akizungumza siku chache baada ya kuokoka akiwa nyumbani kwa baba yake mdogo, Kigogo, Fauzia alisema alitokea Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga alipokuwa akiishi na bibi yake.
Alikuja Dar kwa lengo la kuendeleza mauaji ya kafara ambapo safari hii ilikuwa amuue mama yake mdogo mwingine ambaye ni mjamzito kwa sasa.
Alisema kama angefanikiwa kumuua, angepandishwa cheo na kuwa malkia kamili katika jamii hiyo inayotafsiriwa vibaya duniani.
ALIKOTOKEA
Fauzia alisema kuwa mara ya kwanza hakujua kama amekuwa mwanachama wa Freemason bali alichojua yeye alijiunga na uchawi wenye ushirika wa Kahama na Kigogo jijini Dar es Salaam ambapo mara kwa mara alikuwa akija Dar usiku na kufanya mambo ya kichawi kwa watu mbalimbali.
Alisema siku moja aliambiwa lazima amtoe uhai mama yake mdogo, naye kwa uwezo aliokuwa nao alifanya hivyo, mama yake mdogo akafa kwa kuugua ghafla.
Baada ya kifo cha mama yake mdogo, ndipo usiku mmoja bibi kizee mmoja (alimtaja jina) alimtokea katika ulimwengu wa kiroho na kumwambia alitakiwa aende kwenye Jiji la Lagos nchini Nigeria kwa ajili ya kutambulishwa rasmi na kupewa umalkia mdogo.
Akiendelea kuzungumza huku akionekana kujiamini licha ya umri wake mdogo, Fauzia alisema:
“Siku nilipoondoka kwenda Nigeria nilikuwa na wenzangu walionisindikiza. Ilikuwa ni safari ya kimiujiza. Tulipofika kule, wao waliniacha mahali, mimi nikajikuta nikitokea ndani ya jengo kubwa ambalo ndani yake nilikuta mtu mwenye asili ya Kiarabu.
“Yule mtu alinipokea na kuishi naye. Siku moja aliniambia Fauzia wewe una na nguvu mbili, za Freemason na uchawi,” alisema.
ASIMIKWA KUWA MALKIA MDOGO
Aliendelea kusema: “Ndipo siku moja ikafika, nikasimikwa kuwa malkia mdogo kwa kukabidhiwa gauni fupi jeupe na kitambaa cheupe cha kuvaa kichwani (vilioneshwa kwa waandishi wa habari hii).
Hizi nguo ni dalili kwamba anayemiliki ni malkia mdogo. Unakuwa na uwezo wa kujua mambo yote ya siri ya kidunia yanayoendelea.
“Baada ya hapo, nilirejea hapa nchini kwetu. Nilipokewa na bibi ambaye alikuja kimazingara. Bibi aliniuliza ni wapi nilikokuwa mpaka nimepata nguvu za Freemason wakati yeye alinikabidhi uchawi wa kawaida? Sikumjibu,” alisema Fauzia mbele ya baba yake mdogo na mama yake mdogo aliyekuwa amuue.

Katika mazungumzo hayo yaliyohudhuriwa pia na majirani, binti huyo akakumbuka jambo zito lililomtokea akiwa darasa la saba na kusema:
“Nakumbuka nikiwa darasa la saba, siku moja usiku niliota ndoto. Nilimwona mzee mmoja mwenye mapembe akinijia na kunikabidhi mikoba. Naamini yule mtu ndiyo aliniingiza kwenye Freemason kwani kuanzia pale ndipo nilipobadilika na kuwa na uwezo wa kuja Dar na kurudi Kahama kwa usiku moja.
“Basi, baada ya kurudi nyumbani Kahama, siku moja nikaambiwa na wakubwa wangu natakiwa kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kuongeza nguvu za Freemason.
“Kule nilikaa kwa siku kadhaa na nikafundishwa mambo mengi ya ajabu, pia nilikutana na viongozi wakubwa wa kidini na kiserikali wa hapa nchini Tanzania (aliwataja majina).
MAISHA YA NYUMBANI AKIWA SAFARINI
“Ilivyokuwa ni kwamba, kila nilipokuwa safarini, nyumbani nilikuwa naacha jini lililofanana na mimi kwa kila kitu. Jini hilo lilifanya kazi nyumbani badala yangu pasipo mtu yeyote kufahamu wakijua ni mimi. Niliporudi na jini liliondoka.
ATOBOA SIRI ZA SCREEN TOUCH
“Nikiwa katika jengo la ajabu la Freemason nchini Marekani, niliona watu wengi wakitengeneza simu za kisasa ‘screen touch’ na televisheni za ‘flat screen’ nilipowauliza za nini? Walinijibu kuwa simu hizo zimewekwa kifaa maalumu cha kunyonya damu ya mtumiaji kutoka kwenye kidole chake kila mara atakapobofya.
“Zamani kulikuwa na simu zikitumia peni maalum kwenye screen lakini Freemason waliamua kuziondoa kwa kuwa hazikuwa zikiwapelekea damu. Hivyo mtumiaji wa simu za screen touch za sasa lazima aguse kwa kidole chake na si kwa kitu kingine ndipo ataweza kutumia simu yake ilimradi tu achangie damu yake kwenye benki za damu za Freemason zilizopo Marekani.”
KUHUSU TV FLAT SCREEN
Akifafanua kuhusu runinga za flat screen, Fauzia alisema kuwa, hizo zimewekewa kifaa chenye mionzi ya ki-Freemason ambacho humfanya mtu anayeangalia kila wakati kuwa zezeta huku vifo vya ghafla akivitaja kama matokeo makuu ya kuangalia televisheni hizo.

Mbali na hayo, binti huyo alizizungumzia suruali maarufu za wasichana zinazotambulika kwa jina la ‘skin tight’ ambazo hubana.
Alisema suruali hizo zimewekwa nyuzi maalum za kijini ambazo husababisha mwanaume yeyote ambaye atamuona msichana akiwa katika vazi hilo amtamani kingono hata kama msichana huyo havutii.
PASAKA NA X-MASS
Binti huyo alizidi kutia hofu watu pale aliposema kuwa Sikukuu za Pasaka na X-Mass zimekuwa kubwa duniani kwa sababu Freemason wametia mkono kwa kuzikuza na kutumbukiza akilini mwa watu tabia ya dhambi.
“Wengi wanaziona sikukuu hizo ndiyo za kufanyia maasi, kama vile ngono, ulevi kupitiliza na kufuru nyingine na wanaopotezewa uhai kwa ajili ya sikukuu hizo ni wengi sana,” alisema.
KUHUSU KUMUUA MAMA YAKE MDOGO
Kuhusu jaribio la kumuua mama yake mdogo, Fauzia alisema alishindwa mara zote kwa kuwa alikuwa ‘mzito’. Aliwataarifu Freemason wenzake wamuue lakini nao walishindwa na kudai kuwa alikuwa akiwaka moto.
Alidai kuwa mama mdogo huyo hakujua lolote lililokuwa likiendelea mpaka pale alipofika mpwa wao ambaye ni mlokole na kumuombea Fauzia.
MJOMBA MTU AZUNGUMZA
Akizungumza na waandishi wetu, mjomba wa Fauzia aliyejitambulisha kwa jina la Gervas ambaye ni mlokole, alisema kuwa kila mara alipokuwa akimuangalia binti huyo, alihisi ana mambo tofauti na binadamu wengine.
Alisema: “Siku moja nilimsikia roho wa Mungu akiniongoza kufika nyumbani hapa na kuomba. Nilijikuta nikimuita Fauzia na kuanza kumuombea.
“Nilishangaa sana kumwona akipandisha mashetani na kuzungumza mambo ya kutisha aliyodai kuyafanya kwa siri. Baada ya maombi ya muda mrefu nikisaidiwa na familia yangu ndipo nilipovitoa vifaa vya ajabu.”

Akizungumza na waandishi wetu, baba mdogo wa Fauzia aliyejitambulisha kwa jina la Amos Deda ambaye anaishi na binti huyo Kigogo na a
mbaye mke wake ndiyo alikuwa auawe, alisema:
“Sikuwa nikiamini kabisa kuhusiana na masuala haya mpaka nilipojionea mwenyewe vifaa hivi vya kichawi vya Freemason vikitolewa na mjomba wake.
“Fauzia ameniomba msamaha, pia ameomba msamaha kwa familia. Lakini pia akasema ajali iliyomvunja miguu shangazi yake miaka ya nyuma na kumuua mtoto wa shangazi yake huyo aliisababisha yeye, pia akaomba msamaha. Tumeupokea.”
Pia Fauzia aliiomba radhi kwa familia ya
mama yake mdogo ambapo alidai kumuua mama huyo kwa kushirikiana na mkubwa wake mwingine.
NENO LA MWISHO
“Kwa sasa nimeokoka, nimeachana kabisa na mambo haya, zaidi ninamtumikia Mungu kwa nguvu zangu zote,” alisema Fauzia.

Subscribe to:
Posts (Atom)