MWANAMKE NCHINI NIGERIA ACHOMWA MOTO HADI KUFA UNATAKA KUJUA KISA NINI SOMA ZAIDI...
Hivi karibuni mwanamke mmoja huko Nchini Nigeria aliuawa na wananchi
walioamua kujichukulia sheria mkononi baada ya kumtuhumu kuwa anaiba
watoto wa shule na kuwapeleka kusikojulikana.
Mwanamke huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja, alianza kupigwa na baadaye wananchi hao wakamuua kwa kumchoma moto.
Inadaiwa kuwa mwanamke huyu alikutwa na watoto wawili wa kike ambao ni
wanafunzi, akiongozana nao na ndipo wananchi walipompiga na hatimaye
kumchoma moto hadi akafa
No comments:
Post a Comment