Wednesday, 14 May 2014

INASIKITISHA SANA MWANAMKE ACHOMWAQ MOTO HADI KUFA NI JAMBO LA KUSIKITISHA NA NILA UZUNI SANA

MWANAMKE NCHINI NIGERIA ACHOMWA MOTO HADI KUFA UNATAKA KUJUA KISA NINI SOMA ZAIDI...




Hivi karibuni mwanamke mmoja huko Nchini Nigeria aliuawa na wananchi walioamua kujichukulia sheria mkononi baada ya kumtuhumu kuwa anaiba watoto wa shule na kuwapeleka kusikojulikana.
Mwanamke huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja, alianza kupigwa na baadaye wananchi hao wakamuua kwa kumchoma moto.
Inadaiwa kuwa mwanamke huyu alikutwa na watoto wawili wa kike ambao ni wanafunzi, akiongozana nao na ndipo wananchi walipompiga  na hatimaye kumchoma moto hadi akafa

Wednesday, 7 May 2014

KUTOKANA NA MVUA ZINAZOZIDI KUENDELEA KUNYESHA MALORI ZAIDI YA 100 YAMEKWAMA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM - MTWARA SOMA ZAIDI UPATE TAARIFA KAMILI....

MAGARI ZAIDI YA MIA YAMEKWAMA NJIANI BARABARA YA MANZESE DAR ES SALAAM - MTWARA KUTOKANA NA MVUA ZINAZOZIDI KUNYESHA JIJINI HUMO....
Haya ni maafa serikali inatakiwa kuingilia kati swala hili kwasababu barabara zimekuwa mbaya na ni kazi kupitika hasa kwa magari makubwa.



 Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama
 Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini wakiwa wamesimama kushuhudia juhudi zinazofanya na vijana wa eneo la Manzese na baadhi ya madereva wa malori na mabasi pamoja na abiria kuhakikisha wanasaidia magari kuvuka ili kuweza kuendelea na safari zao.
 Wasafiri na wakazi wa Eneo la Manzese wakishuhudia greda lililofika kwaajili ya kusaidia kusawazisha eneo hilo na kutoa magari yaliyonasa kutokana na eneo hilo kujaa maji na tope zito yaliyosababisha magari kukwama kwa takribani masaa zaidi ya nane hapo jana.
 Mabasi yatokeayo Mikoa ya Kusini kuelekea Bara yakiwa yamekwama katika eneo la Manzese - Kilwa kutokana na barabara kuwa mbovu katika eneo hilo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea kusababisha magari zaidi ya mia kunasa na kutoendelea na safari zao kwa zaidi ya masaa nane.

Greda likiondoa tope na kusawazisha eneo hilo ambalo lilileta usumbufu mkubwa sana kwa watumiaji wa barabara ya Dar Mtwara na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama katika eneo hilo lililoaharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha. 
 Malori yakiwa kwenye msururu.
ANTI LULU ASHANGAZA WATU:
ANTI LULU: Najuta kumvulia nguo Amani sikujua kama ana wivu mkubwa kiasi kile
Hayo ni maneno aliyoyasema Anti lulu kwa uzuni
soma zaidi upate kujua mengi.......





MSANII   wa  filamu  Bongo,Lulu Semagongo  'Aunty Lulu'  anadai  kuwa  anajuta  kumvulia  nguo  mwandani  wake  aliyemtaja  kwa  jina  la  Amani  ambaye  hivi  karibuni  alimshushia  kipigo  kikali  baada  ya  kutaka  kwenda  kujirusha  usiku  kwenye  kumbi  za  starehe....

Akizungumza  na  Mpekuzi  wetu,Aunty  Lulu  alisema  katika  siku  ya  tukio  ni  kweli  alitaka  kwenda  kupata  raha  mwenyewe  kwenye  moja  ya  klabu  za  starehe  usiku  na  alimpa  taarifa  jamaa  yake  huyo  lakini  akamgomea  kwenda  kwani  alihisi  angeenda  kumsaliti....
Msanii  huyo  aliendelea  kusema  kuwa jamaa  yake  huyo  ana  wivu  balaa  na  hilo  limekuwa  likimpa  shida  kwani  wakati  mwingine  anashindwa  kuongea  na  wanaume  ambao  mpenzi  wake  hawafahamu  maana  huwa  anahisi  ni  hawala  zake....
"Najuta  kumpa  penzi  Amani  kwani  sikujua    ana  wivu    mkubwa  kiasi  hiki,hataki  kunipa  uhuru  wa  kwenda  kujirusha kama  ilivyokuwa  siku  za  awali.Si  kweli  kwaba  nikienda  kwenye  kumbi  za  starehe  naweza  kumsaliti  kwani  binafsi  huwa  sipendi  kuchanganya  wanaume"Alisema  msanii huyo.
HII NI AJABU KWA KWELI KUONA MTO UNATOA DAMU BADALA YA MAJI
 MAAJABU YA MTO WENYE MAJI YA DAMU WAISHANGAZA DUNIA

Hili ni jambo la kushangaza na la kuogopesha sana kuona mto unatoa damu badala ya maji kwakuwa tumezoea na tunajua mito yote inatokana na maji ndio maana inaitwa mito ila kwa hili ni ajabu kidogo embu soma zaida..........




he River Lotzwil (Bern, Switzerland) has suddenly turned blood red.  Scientists say they have absolutely no explanation.  Others point to The Book of Revelation, 16:4 in the Holy Bible.  Picture of the River shown below

This is just the latest of a series of similar incidents wherein waterways – either fresh or salt — have “inexplicably” turned blood red. In January, 2014, a stream in Northhampshire, UK turned blood red. Initially, it was thought that Ink spilled in the river, but that was never confirmed and the source was never found.

In December, 2013, a river near a small village in Slovakia turned blood red. It was thought that a slaughterhouse upstream had leaked into the river but that was not true. No explanation was ever found.

A similar incident took place in September, 2012 in a section of the Yangtze River in Chongqing, China as shown below . . . Experts struggled to explain it:


In February, 2012, People in Lebanon’s capital woke up to the following scene of the Beirut river that runs at the edge of the city .

Even canals in Beirut turned red . . . . and the government had no explanation In Little Rock, AR, a stream turned blood red in 2012 with no explanation . . . In November, 2012, Australia’s most famous beach, Bondo Beach, turned blood red too . . . On Friday, August 10, 2012, the waters of a lake in The Camargue, a marshy area in the Rhone delta of southern France, turned “blood red.” The scene certainly baffled holiday makers. The strange thing about it is lakes on the left and right of the red lake are absolutely as you’d expect with them to be, with normal water. The color was never explained.

While governments and scientists are baffled by these events, the explanation is clear to those of us who participate in this web site:
 Almighty God is warning us to repent our sins. Of course, you may find such a belief ridiculous (which is part of the problem) but the Holy Bible, written two thousand or so years ago, foretold of this type of event.

In The Book of Revelations, Chapter 16, Verse 4, we were warned: And the third angel poured out his vial upon the rivers and fountains of waters; and they became blood. It isn’t hard to believe that humanity is being warned by God to repent its sins, or to see that humanity, in its arrogance, is ignoring these warnings, as was also foretold in the Bible. For us, we believe in YHVH which some pronounce “YAHWEH” and others pronounce “Jehovah” who is the one, true, almighty God. We believe and assert that he is the Creator of us and of all things. We believe and assert that he always was, always is and always shall be. We repent our sins, ask YHWH to forgive us, and pray that we be granted Salvation through Y’Shua, whom we are taught was called Jesus, the Christ, Messiah. We make no apology to anyone for our beliefs, or for worshiping Almighty God. We urge everyone to get right with the Lord because he is just and his judgments are righteous. He cannot be lied to, fooled, conned or snookered. We fear his just and righteous punishment for our sins, and suggest.

Wednesday, 30 April 2014


MI NASHANGAA WATANZANIA TUNAjizarau wenyewe kwann kutana na mtanzania ambaye ni tajiri mtu mwenye pesa zake  anazo nyingi tu lakini unamjua hakuna anayemtambua mtu kama huyu.... SOMA HABARI YAKE ZAIDI UPATE KUJUA MENG NA KUJIFUNZA..





HII NDO HISTORIA YA MTANZANIA MWENYE UTAJIRI WA AJABU HAPA BONGO



 

Davis Mosha, founder, Delina Enterprises, one of KenolKobil’s key transporters in the region.
Davis Mosha lives a fulfilling life by doing what he loves best: business, rallying and football. He is an entrepreneur, a rally driver and owns a football club in Tanzania, his motherland.

But this has been made possible courtesy of his business. Mr Mosha is the founder and director of Delina General Enterprises a company that transports fuel and other products to KenolKobil depots throughout East Africa. The company’s name Delina is derived from the first initials of his wife and children: D for David, E for Edgar, L for Lisa N for Nancy and A for Angela.


From Mombasa to Kampala, Dar to Congo, Delina serves KenolKobil clients with a passion born out of experience and a mutually beneficial relationship. Delina and KenolKobil have come a long way. It started in early 2000 when KenolKobil was seeking to expand its operations to Tanzania. The oil company rented his fuel station in Chalinze, Morogoro, the first that Kenol Kobil established in the country. Due to his experience doing business in East Africa’s biggest country, he also advised the company.


The watershed of Delina’s relationship with KenolKobil came in 2004 when the company asked him if he could invest in transportation. The deal? Move fuel products from Dar es Salaam to the Democratic Republic of Congo. He was the right man for the job. Mr Mosha was in transport as the owner of tippers which he rented to, among others, road construction companies. As a former owner of a fuel station, he also knew the sensitive nature of the product. “It was a good business opportunity with an even better business partner,” he says. He mopped up his savings and invested in five vehicles to pry the route.


Eversince, Delina’s growth has reflected that of Kenol Kobil. True to its goal of becoming the continent’s leading oil marketer, KenolKobil now operates in Kenya, Uganda, Tanzania, Burundi and recently started operations in Burundi. Mr Mosha has since expanded his fleet and operations to all the five East African Community countries. His fleet has grown from the initial five to over 70 all serving KenolKobil.


The oil company has been more than a business partner to him. For instance, when he needed money to increase his fleet from 30 to 50 vehicles in order to serve KenolKobil’s Rwanda and Burundi operations, the oil firm offered Delina the guarantee it needed to secure a loan from one of the regional banks. “Few, if any, companies can give you this kind of support. KenolKobil has really uplifted me.”


Delina operates in a sector characterized by many vices. Drivers sometimes pilferage fuel and mix with other Kerosene to make up for the stolen product. In addition, freak accidents leading to spillage have dented the image of some of players and in some cases with fatal consequences. A tanker for instance overturned along Kenya’s Nakuru-Eldoret highway. Many members of the public who rushed to scoop the fuel died after the tanker exploded.


But Delina’s trucks have not been involved in such vices. On the contrary, his safety standards have kept him as one of the leading KenolKobil transporters. Delina has taken several measures to ensure safe and efficient delivery of oil products. Before recruiting a driver, Delina conducts a background check to ascertain their character. Once hired, they are “trained and well taken care of”. There is a monthly bonus for drivers who meet their targets and timelines. There are over 90 drivers working in the firm. “We also maintain friendly working relations and they have direct access to me,” he says.


To avoid accidents, theft and guarantee safety of the vehicles and drivers, Delina has one golden rule: no vehicle travels after 6 p.m. “We get an alert in case a driver violates the provision and immediately get in touch with the them to find out why they are still on the road.” The vehicles are also fitted with GPS tracking sytems that show the location of the vehicle and notify Delina if product are being interfered with.


Like many firms, Delina also faces a number of challenges. Axle load limits in East Africa are for instance a logistical nightmare. The trucks pay different rates when passing each of the country’s weighbridges. “East African countries should harmonize the charges and axle load limits.” Roads, especially on the Kenyan side of the border are in a bad condition although “the situation is improving”, he says.


Mr Mosha, 38, was born into “a family of business people”. But he opted for an engineering course at “Dar Technical” and later worked as a cargo officer. It was during this time that he developed an interest in transport and bought his first lorry. Since he was still in his ‘20s, few people entrusted the young man with big contracts and he was hired either as a sub-contractor or to complement other larger companies. “This is why I am grateful to KenolKobil. They looked at my potential not my age before supporting my business,” says the tall, light complexioned entrepreneur who is married with three kids.


But courtesy of his hardwork and Kenol Kobil’s assistance, Delina is expanding beyond transport. He is already building two hotels in Tanzania, owns a car hire firm, a crane company and several other enterprises. “To succeed in business you must be very passionate and hardworking,” he says before adding, “of course it helps to have a partner like KenolKobil.”
source-lemutuz
HATARIIIIIIIIIIIIIIIII.... TUMESHAOEA KWA MWANADADA SHOSTI LADY GAGA KWA KUHUSISHWA NA MATUKIO MENGI YA AJABU AJABU NA YA KUSHANGAZA NI MWANADADA AMBAYE HAISHIWI NA MATUKIO HILI NI TUKIO LINGINE ...........................

MWANAMUZIKI LADY GAGA ATUMBUIZA AKIWA UCHI NI JAMBO LA AJABU SANA TENA NI LAKUSHANGAZA LAKINI KWA KWA MWANAMUZIKI HUYU NI KAMA JAMBO LA KAWAIDA....

Mwanamuziki Lady Gaga Atumbuiza Akiwa Uchi
Mwanamuziki Marekani  Lady Gaga Akijirusha Kwenye Umati wa Watu Uchi
Mwanamuziki Marekani Lady Gaga Akijirusha Kwenye Umati wa Watu Uchi
Mwanamuziki Lady Gaga wa Marekani bila kuogopa umati mkubwa kwamba utamuumiza au kumchafua akijimwaga waziwazi akiwa amejivalia nguo zake za chekecheke na zenye kuonyesha waziwazi uchi wake.
Wanamuziki wa Marekani ni kawaida yao kuimba huku wakiwa nusu uchi au uchi kabisa ili kuwavutia mashabiki wengi zaidi, Lady Gaga aliyafanya hayo akitumbuiza kwenye sherehe za The Lollapalooza music festival huko Chicago
Mwanamuziki Marekani Lady Gaga


DUUUUUUUH HII SASA NAYO KALI KAMA UJAWAHI SIKIA KITUKO HIKI NI KITUKO TENA SI KIDOGO MTOO WA MIEZI TISA AMBAYE HATA KUNYANYUA CHUPA YAKE YA MAZIWA HAWEZI ANATAFUTWA NA POLISI HUKO PAKISTANI KWA KOSA LA MAUAJI......UNATAKA KUJUA KAUA NINI INGIA NDANI USOME VIZURI....................


Mtoto wa Miezi Tisa Ashitakiwa Kwa Jaribio la Mauaji Pakistani

Mtoto wa miezi tosa (9) mafichoni kule LAHORE Pakistan kwa sababu ana kesi ya kujibu. Mtoto huyo pichani ambaye hata hawezi kunyanyua chupa yake ya maziwa anadaiwa kushiriki kwenye jaribio la mauaji.
Baby huyo anayeitwa Musa Khan sasa yuko mafichoni kwani polisi wanamtafuta. Wiki iliyopita mtoto huyo alipelekwa mahakamani na kutajiwa kesi hiyo ya jaribio la mauaji katika mojawapo ya mahakama mjini LAHORE.
Pamoja na mtoto huyo Baba yake na Babu yake wanahukumiwa pia. Sakata hilo lilianza pale polisi mmoja na mfanyakazi wa kampuni moja ya gesi aliyekuwa anakusanya bili za muda mrefu waliporushiwa mawe na waandamanaji wanaopinga kupunguzwa kwa gesi na kupandishwa bei.
Kesi ya kichanga hiki inaonyesha wazi udhaifu ulioko kwenye sheria za PAkistani
Hata hivyo taarifa za hivi punde kutoka LAHORE, Pakistani zinasema kuwa mahakama hiyo imemfutia kesi mtoto huyo