MWANAMKE NCHINI NIGERIA ACHOMWA MOTO HADI KUFA UNATAKA KUJUA KISA NINI SOMA ZAIDI...
Hivi karibuni mwanamke mmoja huko Nchini Nigeria aliuawa na wananchi
walioamua kujichukulia sheria mkononi baada ya kumtuhumu kuwa anaiba
watoto wa shule na kuwapeleka kusikojulikana.
Mwanamke huyu ambaye jina lake halikupatikana mara moja, alianza kupigwa na baadaye wananchi hao wakamuua kwa kumchoma moto.
Inadaiwa kuwa mwanamke huyu alikutwa na watoto wawili wa kike ambao ni
wanafunzi, akiongozana nao na ndipo wananchi walipompiga na hatimaye
kumchoma moto hadi akafa
Wednesday, 14 May 2014
Wednesday, 7 May 2014
KUTOKANA NA MVUA ZINAZOZIDI KUENDELEA KUNYESHA MALORI ZAIDI YA 100 YAMEKWAMA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM - MTWARA SOMA ZAIDI UPATE TAARIFA KAMILI....
MAGARI ZAIDI YA MIA YAMEKWAMA NJIANI BARABARA YA MANZESE DAR ES SALAAM - MTWARA KUTOKANA NA MVUA ZINAZOZIDI KUNYESHA JIJINI HUMO....
Haya ni maafa serikali inatakiwa kuingilia kati swala hili kwasababu barabara zimekuwa mbaya na ni kazi kupitika hasa kwa magari makubwa.
Malori
na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea
na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese
lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana
kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha
na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama
Baadhi
ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi
na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini
wakiwa wamesimama kushuhudia juhudi zinazofanya na vijana wa eneo la
Manzese na baadhi ya madereva wa malori na mabasi pamoja na abiria
kuhakikisha wanasaidia magari kuvuka ili kuweza kuendelea na safari zao.
Wasafiri
na wakazi wa Eneo la Manzese wakishuhudia greda lililofika kwaajili ya
kusaidia kusawazisha eneo hilo na kutoa magari yaliyonasa kutokana na
eneo hilo kujaa maji na tope zito yaliyosababisha magari kukwama kwa
takribani masaa zaidi ya nane hapo jana.
Mabasi
yatokeayo Mikoa ya Kusini kuelekea Bara yakiwa yamekwama katika eneo la
Manzese - Kilwa kutokana na barabara kuwa mbovu katika eneo hilo
kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea kusababisha magari
zaidi ya mia kunasa na kutoendelea na safari zao kwa zaidi ya masaa
nane.
Greda
likiondoa tope na kusawazisha eneo hilo ambalo lilileta usumbufu mkubwa
sana kwa watumiaji wa barabara ya Dar Mtwara na kupelekea magari zaidi
ya mia kukwama katika eneo hilo lililoaharibiwa na mvua zinazoendelea
kunyesha.
Malori yakiwa kwenye msururu.
ANTI LULU ASHANGAZA WATU:
ANTI LULU: Najuta kumvulia nguo Amani sikujua kama ana wivu mkubwa kiasi kile
Hayo ni maneno aliyoyasema Anti lulu kwa uzuni
soma zaidi upate kujua mengi.......
ANTI LULU: Najuta kumvulia nguo Amani sikujua kama ana wivu mkubwa kiasi kile
Hayo ni maneno aliyoyasema Anti lulu kwa uzuni
soma zaidi upate kujua mengi.......
MSANII wa filamu Bongo,Lulu Semagongo 'Aunty Lulu' anadai kuwa
anajuta kumvulia nguo mwandani wake aliyemtaja kwa jina la
Amani ambaye hivi karibuni alimshushia kipigo kikali baada ya
kutaka kwenda kujirusha usiku kwenye kumbi za starehe....
Akizungumza na Mpekuzi wetu,Aunty Lulu alisema katika siku ya
tukio ni kweli alitaka kwenda kupata raha mwenyewe kwenye moja
ya klabu za starehe usiku na alimpa taarifa jamaa yake huyo
lakini akamgomea kwenda kwani alihisi angeenda kumsaliti....
Msanii huyo aliendelea kusema kuwa jamaa yake huyo ana wivu
balaa na hilo limekuwa likimpa shida kwani wakati mwingine
anashindwa kuongea na wanaume ambao mpenzi wake hawafahamu
maana huwa anahisi ni hawala zake....
"Najuta kumpa penzi Amani kwani sikujua ana wivu mkubwa
kiasi hiki,hataki kunipa uhuru wa kwenda kujirusha kama
ilivyokuwa siku za awali.Si kweli kwaba nikienda kwenye kumbi
za starehe naweza kumsaliti kwani binafsi huwa sipendi
kuchanganya wanaume"Alisema msanii huyo.
HII NI AJABU KWA KWELI KUONA MTO UNATOA DAMU BADALA YA MAJI
MAAJABU YA MTO WENYE MAJI YA DAMU WAISHANGAZA DUNIA
Hili ni jambo la kushangaza na la kuogopesha sana kuona mto unatoa damu badala ya maji kwakuwa tumezoea na tunajua mito yote inatokana na maji ndio maana inaitwa mito ila kwa hili ni ajabu kidogo embu soma zaida..........
he River Lotzwil (Bern, Switzerland) has suddenly turned blood red. Scientists say they have absolutely no explanation. Others point to The Book of Revelation, 16:4 in the Holy Bible. Picture of the River shown below
This is just the latest of a series of similar incidents wherein waterways – either fresh or salt — have “inexplicably” turned blood red. In January, 2014, a stream in Northhampshire, UK turned blood red. Initially, it was thought that Ink spilled in the river, but that was never confirmed and the source was never found.
In December, 2013, a river near a small village in Slovakia turned blood red. It was thought that a slaughterhouse upstream had leaked into the river but that was not true. No explanation was ever found.
A similar incident took place in September, 2012 in a section of the Yangtze River in Chongqing, China as shown below . . . Experts struggled to explain it:
In February, 2012, People in Lebanon’s capital woke up to the following scene of the Beirut river that runs at the edge of the city .
Even canals in Beirut turned red . . . . and the government had no explanation In Little Rock, AR, a stream turned blood red in 2012 with no explanation . . . In November, 2012, Australia’s most famous beach, Bondo Beach, turned blood red too . . . On Friday, August 10, 2012, the waters of a lake in The Camargue, a marshy area in the Rhone delta of southern France, turned “blood red.” The scene certainly baffled holiday makers. The strange thing about it is lakes on the left and right of the red lake are absolutely as you’d expect with them to be, with normal water. The color was never explained.
While governments and scientists are baffled by these events, the explanation is clear to those of us who participate in this web site:
Almighty God is warning us to repent our sins. Of course, you may find such a belief ridiculous (which is part of the problem) but the Holy Bible, written two thousand or so years ago, foretold of this type of event.
In The Book of Revelations, Chapter 16, Verse 4, we were warned: And the third angel poured out his vial upon the rivers and fountains of waters; and they became blood. It isn’t hard to believe that humanity is being warned by God to repent its sins, or to see that humanity, in its arrogance, is ignoring these warnings, as was also foretold in the Bible. For us, we believe in YHVH which some pronounce “YAHWEH” and others pronounce “Jehovah” who is the one, true, almighty God. We believe and assert that he is the Creator of us and of all things. We believe and assert that he always was, always is and always shall be. We repent our sins, ask YHWH to forgive us, and pray that we be granted Salvation through Y’Shua, whom we are taught was called Jesus, the Christ, Messiah. We make no apology to anyone for our beliefs, or for worshiping Almighty God. We urge everyone to get right with the Lord because he is just and his judgments are righteous. He cannot be lied to, fooled, conned or snookered. We fear his just and righteous punishment for our sins, and suggest.
MAAJABU YA MTO WENYE MAJI YA DAMU WAISHANGAZA DUNIA
Hili ni jambo la kushangaza na la kuogopesha sana kuona mto unatoa damu badala ya maji kwakuwa tumezoea na tunajua mito yote inatokana na maji ndio maana inaitwa mito ila kwa hili ni ajabu kidogo embu soma zaida..........

he River Lotzwil (Bern, Switzerland) has suddenly turned blood red. Scientists say they have absolutely no explanation. Others point to The Book of Revelation, 16:4 in the Holy Bible. Picture of the River shown below
This is just the latest of a series of similar incidents wherein waterways – either fresh or salt — have “inexplicably” turned blood red. In January, 2014, a stream in Northhampshire, UK turned blood red. Initially, it was thought that Ink spilled in the river, but that was never confirmed and the source was never found.
In December, 2013, a river near a small village in Slovakia turned blood red. It was thought that a slaughterhouse upstream had leaked into the river but that was not true. No explanation was ever found.
A similar incident took place in September, 2012 in a section of the Yangtze River in Chongqing, China as shown below . . . Experts struggled to explain it:
In February, 2012, People in Lebanon’s capital woke up to the following scene of the Beirut river that runs at the edge of the city .
Even canals in Beirut turned red . . . . and the government had no explanation In Little Rock, AR, a stream turned blood red in 2012 with no explanation . . . In November, 2012, Australia’s most famous beach, Bondo Beach, turned blood red too . . . On Friday, August 10, 2012, the waters of a lake in The Camargue, a marshy area in the Rhone delta of southern France, turned “blood red.” The scene certainly baffled holiday makers. The strange thing about it is lakes on the left and right of the red lake are absolutely as you’d expect with them to be, with normal water. The color was never explained.
While governments and scientists are baffled by these events, the explanation is clear to those of us who participate in this web site:
Almighty God is warning us to repent our sins. Of course, you may find such a belief ridiculous (which is part of the problem) but the Holy Bible, written two thousand or so years ago, foretold of this type of event.
In The Book of Revelations, Chapter 16, Verse 4, we were warned: And the third angel poured out his vial upon the rivers and fountains of waters; and they became blood. It isn’t hard to believe that humanity is being warned by God to repent its sins, or to see that humanity, in its arrogance, is ignoring these warnings, as was also foretold in the Bible. For us, we believe in YHVH which some pronounce “YAHWEH” and others pronounce “Jehovah” who is the one, true, almighty God. We believe and assert that he is the Creator of us and of all things. We believe and assert that he always was, always is and always shall be. We repent our sins, ask YHWH to forgive us, and pray that we be granted Salvation through Y’Shua, whom we are taught was called Jesus, the Christ, Messiah. We make no apology to anyone for our beliefs, or for worshiping Almighty God. We urge everyone to get right with the Lord because he is just and his judgments are righteous. He cannot be lied to, fooled, conned or snookered. We fear his just and righteous punishment for our sins, and suggest.
Subscribe to:
Posts (Atom)